Inicio Top Música Bad Bunny Música Cristiana Taylor Swift Ed Sheeran Luis Fonsi Ozuna Daddy Yankee J Balvin Maluma DMCA

Letra de la Canción "Naolewa" de Ruby Tanzania | BooMusica 2026

Varios-artistas

Nuevo Rock

Varios-artistas

2000s Pop

Varios-artistas

Top Hits 2018

Varios-artistas

Soul to Chill

Artist profile picture

Naolewa

Ruby Tanzania

(Fraga got the recipe)

Waliniita kimbaumbau, kiguu na njia
Ila nikadharau, nikapuuzia
Leo kwao kafa nyau, yanawanukia
Kwetu twafinya pilau, yametimia

Ooh wanjara, walete bunyero ooh
Mi nataka kulimwaga razi (na makagheroo)
Waite na mapaparazi (wapate kero)
Wale wenye magho ya nazi (bando la jero)

Wapate vya kuperuzzi

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie (ooh sheba)
Naolewa, naolewa mie

Nilikosaga na dira kwa maneno ya waja
Ooh subira aah, mbele inafaraja
Asa chereko, ngoma lipo uwanjanii
Mwali na mideko, kama nimetoka ngomani

Aii yuko wapi mamie mwali
Aje anibebe mgongoni
Amuite daddy mwali waje
Wayarudi ya msondondo

Bibi anacheka, zawadi kaleta
Na kitenge na mkeka
Na kibunda cha pesa
(Aah aah aah)

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie (ooh sheba)
Naolewa, naolewa mie

Sina sina makosa (mtoto wa mwenzio)
Sina sina makosa (utajiua)
Sina sina makosa (mtoto wa mwenzio)
Sina sina makosa (utajiua buree)

Buree, buree

Inicio Top Música Bad Bunny Música Cristiana Taylor Swift Ed Sheeran Luis Fonsi Ozuna Daddy Yankee J Balvin Maluma DMCA