Inicio Top Música Bad Bunny Música Cristiana Taylor Swift Ed Sheeran Luis Fonsi Ozuna Daddy Yankee J Balvin Maluma DMCA

Letra de la Canción "Kamatulivyo (feat. Whozu)" de Mabantu | BooMusica 2026

Varios-artistas

SAYAS CAPORALES

Varios-artistas

Musica Sin Copy Rigth

Varios-artistas

Acoustic Soul

Varios-artistas

Soul to Chill

Artist profile picture

Kamatulivyo (feat. Whozu)

Mabantu

Kimambo on the beat

Tuliomba tusu, tukatusua
Wao hawavioni buku, wakabukuwa
Kongole la butu, tukabutuwa
Kwenye chukuchuku, wakachukuwa (wee)

Wee mama hakuna kufa
iIpandishe kwa juu, alafu shusha
Takata kama una susa
Weka mvinyo kwa glasi, asha mziki tufurahi (aah yee)

Long time nilisaka dooh
Takataka, zote nikatupa store
Wasaka, wote wanaisoma show
Na nawasha, sizimi mpaka waombe pole

I say yeah yeah yeah
Na wasimame de de de
Kwangu mambo bie bie bie
Wakiomba leta ge ge ge

Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo
Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo

(Yesa man yesa yesaya)
Na nishavunja kibuku nawaza nileweje
Kisha niwaambie nilitaka nisemeje
Dj niko sawa, niondokee na tege (teege)

Nataka niwe chakari
Mpaka munibebe bebe bebe
Vishuke vitu vikali
Vitachoma pigi na tege

Haikataii, kufa mara moja
Mimi laki moja (tee)
Kesho kaba chaii, nipe tena moja
Kama tuko sober checheto

I say yeah yeah yeah
Na wasimame de de de
Kwangu mambo bie bie bie
Wakiomba leta ge ge ge

Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo
Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo

Kama hujalewa (njoo kwetu)
Sanga limegoma (njoo kweetu)
Uwe umeishiwa (njoo kwetu)
Uta uta tesa (njoo kweetu)
(Eeh Dj irudie)

Njoo kwetu njoo kweetu
Njoo kwetu njoo kweetu

Zungusha kama tulivyo, ongeza kama tulivyo
Zungusha kama tulivyo, ongeza kama tulivyo

Inicio Top Música Bad Bunny Música Cristiana Taylor Swift Ed Sheeran Luis Fonsi Ozuna Daddy Yankee J Balvin Maluma DMCA